Biblia inasema nini kuhusu Fiziolojia – Mistari yote ya Biblia kuhusu Fiziolojia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Fiziolojia

Ayubu 10 : 11
11 Umenivika ngozi na nyama, Na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa.

Zaburi 139 : 16
16 Macho yako yaliniona kabla sijakamilika; Kitabuni mwako ziliandikwa zote pia, Siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado.

Waefeso 4 : 16
16 ④ Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo.

Wakolosai 2 : 19
19 ⑳ wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukineemeshwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kama atakavyo Mungu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *