Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ezbon
Mwanzo 46 : 16
16 Na wana wa Gadi; Sefoni, na Hagi, na Shuni, na Esboni, na Eri, na Arodi, na Areli.
Hesabu 26 : 16
16 wa Ezboni, jamaa ya Waezboni; wa Eri, jamaa ya Waeri;
1 Mambo ya Nyakati 7 : 7
7 Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa koo za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu elfu ishirini na mbili na thelathini na wanne.
Leave a Reply