Biblia inasema nini kuhusu Eshtemoa – Mistari yote ya Biblia kuhusu Eshtemoa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Eshtemoa

Yoshua 15 : 50
50 Anabu, Eshtemoa, Animu;

Yoshua 21 : 14
14 na Yatiri pamoja na mbuga zake za malisho, na Eshtemoa pamoja na mbuga zake za malisho;

1 Mambo ya Nyakati 6 : 57
57 Na wana wa Haruni wakapewa miji ile ya kukimbilia, nayo ni Hebroni, tena Libna pamoja na viunga vyake, na Yatiri, na Eshtemoa pamoja na viunga vyake;

1 Samweli 30 : 28
28 na kwa hao wa Aroeri, na kwa hao wa Sifmothi, na kwa hao wa Eshtemoa;

1 Mambo ya Nyakati 4 : 17
17 Na wana wa Ezrahi; Yetheri, na Meredi, na Eferi, na Yaloni; na Miriamu akamzalia na Shamai, na Ishba, babaye Eshtemoa.

1 Mambo ya Nyakati 4 : 19
19 Na wana wa mkewe Hodia, dada yake Nahamu, walikuwa babaye Keila, Mgarmi, na Eshtemoa, Mmaaka.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *