Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia En-Hakkore
Waamuzi 15 : 19
19 ⑥ Lakini Mungu akapasua mahali penye shimo palipo katika Lehi, pakatoka maji; naye alipokunywa, roho yake ikamrudia, akaburudika; kwa hiyo jina la mahali pale likaitwa Enhakore,[14] napo pa katika Lehi hata hivi leo.
Leave a Reply