Biblia inasema nini kuhusu Efa – Mistari yote ya Biblia kuhusu Efa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Efa

Mwanzo 25 : 4
4 Na wana wa Midiani walikuwa, Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote walikuwa ni wana wa Ketura.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 33
33 Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.

Isaya 60 : 6
6 ⑱ Wingi wa ngamia utakufunika, Ngamia vijana wa Midiani na Efa; Wote watakuja kutoka Sheba; Wataleta dhahabu na uvumba; Na kuzitangaza sifa za BWANA.

1 Mambo ya Nyakati 2 : 46
46 Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *