Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Diamond
Kutoka 28 : 18
18 na safu ya pili itakuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi;
Kutoka 39 : 11
11 ⑬ Na safu ya pili ilikuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi.
Yeremia 17 : 1
1 Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma, na kwa ncha ya almasi; imechorwa katika kibao cha moyo wao, na katika pembe za madhabahu zenu;
Ezekieli 28 : 13
13 Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari.
Leave a Reply