Biblia inasema nini kuhusu Daberath – Mistari yote ya Biblia kuhusu Daberath

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Daberath

Yoshua 19 : 12
12 kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikia mpaka wa Kisiloth-ubori; kisha ukatokea hata Daberathi, kisha ukakwea kwendelea Yafia;

Yoshua 21 : 28
28 Tena katika kabila la Isakari, Kishioni pamoja na malisho yake, na Daberathi pamoja na mbuga zake za malisho;

1 Mambo ya Nyakati 6 : 72
72 na katika kabila la Isakari; Kishioni pamoja na viunga vyake, na Daberathi pamoja na viunga vyake;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *