Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Cud
Mambo ya Walawi 11 : 8
8 ③ Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Kumbukumbu la Torati 14 : 8
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
Leave a Reply