Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Botania
Mathayo 7 : 18
18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.
Mathayo 7 : 20
20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.
Luka 6 : 44
44 kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa matunda yake; maana, katika miiba hawachumi tini, wala katika michongoma hawachumi zabibu.
1 Wakorintho 15 : 38
38 lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake.
Wagalatia 6 : 7
7 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Mathayo 6 : 29
29 ⑦ nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.
Leave a Reply