Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bizjothjah
Yoshua 15 : 28
28 Hasar-shuali, Beer-sheba, Biziothia;
Yoshua 15 : 32
32 Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; miji hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Yoshua 19 : 8
8 tena vijiji vyote vilivyozunguka miji hiyo kotekote mpaka Baalath-beeri, Rama wa Kusini. Huo ndio urithi wa kabila la wana wa Simeoni kwa kuandama jamaa zao.
Yoshua 19 : 3
3 Hasar-shuali, Bala, Esemu;
Leave a Reply