Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Binti-mkwe
Ruthu 1 : 18
18 Basi alipomwona kuwa amekata shauri kufuatana naye, aliacha kumshawishi.
Ruthu 4 : 15
15 Naye atakurejeshea uhai wako, na kukuangalia katika uzee wako; kwa maana mkweo, ambaye akupenda, naye anakufaa kuliko watoto saba, ndiye aliyemzaa.
Mika 7 : 6
6 Kwa maana mwana humwaibisha babaye, na binti huondoka ashindane na mamaye; na mwanamke aliyeolewa hushindana na mavyaaye; adui za mtu ni watu wa nyumbani mwake mwenyewe.
Mathayo 10 : 35
35 ⑩ Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
Leave a Reply