Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bia
Hesabu 21 : 18
18 ② Kisima walichokichimba wakuu, Ambacho wakuu wa watu wakakifukua, Kwa fimbo za enzi, kwa fimbo zao. Kutoka lile jangwa wakaenda Matana;
Waamuzi 9 : 21
21 ③ Kisha Yothamu akaenda zake na kukimbia, akaenda Beeri, na kukaa kuko, kwa kumwogopa Abimeleki nduguye.
Leave a Reply