Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bezeki
Waamuzi 1 : 5
5 Wakampata huyo Adoni-bezeki huko Bezeki; wakapigana naye, nao wakawapiga Wakanaani na Waperizi.
1 Samweli 11 : 8
8 Naye akawahesabu huko Bezeki; Waisraeli walikuwa elfu mia tatu, na Wayuda elfu thelathini.
Leave a Reply