Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Beth-Harani
Hesabu 32 : 36
36 na, Beth-nimra, na Beth-harani; miji yenye maboma, na mazizi ya kondoo.
Yoshua 13 : 27
27 ⑤ tena katika bonde, Beth-haramu, na Bethnimira, na Sukothi, na Safoni, hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni, yaani mto wa Yordani na kingo zake, mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng’ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.
Leave a Reply