Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bendera
Kutoka 2 : 3
3 Na alipokuwa hawezi kumficha tena, akamtengenezea kikapu cha mafunjo akakitaliza kwa sifa na lami, akamtia mtoto ndani yake, akakiweka kwenye nyasi kando ya mto.
Kutoka 2 : 5
5 Basi binti Farao akashuka, aoge mtoni, na vijakazi wake wakatembea kando ya mto; naye akakiona kile kikapu katika nyasi, akamtuma kijakazi wake kwenda kukileta.
Ayubu 8 : 11
11 Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?
Isaya 19 : 6
6 ① Na vijito vya mto vitatoa uvundo, na mifereji ya Misri itakuwa haina maji mengi, itakauka; manyasi na mianzi itanyauka.
Leave a Reply