Biblia inasema nini kuhusu Bel – Mistari yote ya Biblia kuhusu Bel

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bel

Isaya 46 : 1
1 Beli anaanguka chini, Nebo anainama; sanamu zao ziko juu ya wanyama, na juu ya ng’ombe; vitu vile mlivyokuwa mkivichukua huku na huku vimekuwa mzigo, mzigo wa kumlemea mnyama aliyechoka.

Yeremia 50 : 2
2 ⑦ Tangazeni katika mataifa, Mkahubiri na kutweka bendera; Hubirini, msifiche, semeni, Babeli umetwaliwa! Beli amefedheheka; Merodaki amefadhaika; Sanamu zake zimeaibishwa, Vinyago vyake vimefadhaika.

Yeremia 51 : 44
44 Nami nitafanya hukumu juu ya Beli katika Babeli, nami nitavitoa katika kinywa chake alivyovimeza; wala mataifa hawatamwendea tena; naam, ukuta wa Babeli utaanguka.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *