Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Barafu
Ayubu 6 : 16
16 Vilivyokuwa vyeusi kwa sababu ya barafu, Ambamo theluji hujificha.
Ayubu 38 : 29
29 ⑥ Barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na sakitu ya mbinguni ni nani aliyeizaa?
Zaburi 147 : 17
17 Hutupa mvua ya mawe kama makombo, Mbele ya baridi yake ni nani awezaye kusimama?
Mithali 25 : 13
13 Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.
Leave a Reply