Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Baal-Hamon
Wimbo ulio Bora 8 : 11
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baal-hamomi Akawakodisha walinzi hilo shamba lake la mizabibu; Kila mtu atoe vipande elfu moja vya fedha kwa matunda yake.
Yoshua 19 : 28
28 ⑮ na Ebroni, Rehobu, Hamoni, Kana, hadi kufikia Sidoni Kuu;
Leave a Reply