Biblia inasema nini kuhusu Baal-Berithi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Baal-Berithi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Baal-Berithi

Waamuzi 9 : 4
4 Wakampa vipande vya fedha sabini vilivyotoka katika nyumba ya Baal-berithi, na kwa fedha hizo Abimeleki akaajiri watu wapuuzi mabaradhuli, wafuatane naye.

Waamuzi 8 : 33
33 Kisha ikawa, mara alipokufa Gideoni, wana wa Israeli wakakengeuka tena, wakawaandama Mabaali kwa ukahaba, wakamfanya Baal-berithi kuwa ni mungu wao.

Waamuzi 9 : 46
46 ⑭ Kisha watu wote waliokaa katika ule mnara wa Shekemu waliposikia habari hiyo wakaingia ndani ya ngome ya nyumba ya El-berithi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *