Biblia inasema nini kuhusu Azalia – Mistari yote ya Biblia kuhusu Azalia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Azalia

2 Wafalme 22 : 3
3 Ikawa, katika mwaka wa kumi na nane wa mfalme Yosia, mfalme akamtuma Shafani, mwana wa Azalia, mwana wa Meshulamu, mwandishi, nyumbani kwa Bwana, akisema,

2 Mambo ya Nyakati 34 : 8
8 ⑦ Hata katika mwaka wa kumi na nane wa kutawala kwake, alipokwisha kuisafisha nchi, na nyumba, akamtuma Shafani, mwana wa Azalia, na Maaseya, mkuu wa mji, na Yoa, mwana wa Yoahazi, mwandishi wa kumbukumbu, waitengeneze nyumba ya BWANA, Mungu wake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *