Biblia inasema nini kuhusu asiyeamini – Mistari yote ya Biblia kuhusu asiyeamini

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia asiyeamini

Kumbukumbu la Torati 28 : 47 – 48
47 ① kwa kuwa hukumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa furaha na moyo wa kushukuru, kwa ajili ya ule wingi wa vitu vyote;
48 ② kwa hiyo utawatumikia adui zako atakaowaleta BWANA juu yako, kwa njaa, na kwa kiu, na kwa uchi, na kwa uhitaji wa vitu vyote; naye atakuvika kongwa la chuma shingoni mwako, hata atakapokwisha kukuangamiza.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *