Biblia inasema nini kuhusu Anania – Mistari yote ya Biblia kuhusu Anania

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Anania

Matendo 23 : 5
5 Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.

Matendo 24 : 1
1 Baada ya siku tano, Anania, Kuhani Mkuu, akateremka na baadhi ya wazee pamoja naye, na msemi mmoja, Tertulo, nao wakamweleza mtawala habari za Paulo.

Matendo 25 : 2
2 ④ Kuhani Mkuu na wakuu wa Wayahudi wakampasha habari za Paulo, wakamsihi,

Matendo 5 : 11
11 Hofu nyingi ikalipata kanisa lote na watu wote walioyasikia haya.

Matendo 9 : 18
18 Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa;

Matendo 22 : 16
16 ⑬ Basi sasa, mbona unakawia? Simama, ubatizwe, ukaoshwe dhambi zako, ukiliitia jina lake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *