Biblia inasema nini kuhusu Amri – Mistari yote ya Biblia kuhusu Amri

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Amri

Danieli 6 : 15
15 Ndipo watu wale wakakusanyika pamoja mbele ya mfalme, wakamwambia mfalme, Ee mfalme, ujue ya kuwa ni sheria ya Wamedi na Waajemi, lisibadilike neno lolote lililo marufuku, wala amri yoyote iliyowekwa na mfalme.

Matendo 16 : 4
4 Basi walipokuwa wakipita kati ya miji ile, wakawapa zile amri zilizoamriwa na mitume na wazee walioko Yerusalemu, ili wazishike.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *