Biblia inasema nini kuhusu Ahimeleki – Mistari yote ya Biblia kuhusu Ahimeleki

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ahimeleki

1 Samweli 21 : 15
15 Je! Mimi nina haja ya watu wenye wazimu, hata mmemleta kiumbe huyu ili aoneshe wazimu wake machoni pangu? Je! Huyu ataingia nyumbani mwangu?

Marko 2 : 26
26 ⑩ Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, wakati Abiathari alipokuwa kuhani mkuu, akaila mikate ile ya wonyesho, ambayo si halali kuliwa ila na makuhani, akawapa na wenziwe?

1 Samweli 22 : 22
22 Daudi akamwambia Abiathari, Siku ile alipokuwako Doegi, Mwedomi, nilijua hakika ya kuwa atamwambia Sauli; mimi nimewapatia watu wote wa jamaa ya baba yako kifo.

1 Samweli 26 : 6
6 Ndipo Daudi akajibu, akamwambia Ahimeleki, Mhiti, na Abishai, mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, akisema, Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwa Sauli kambini? Abishai akasema, Mimi nitashuka pamoja nawe.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *