Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Agano
Waraka kwa Waebrania 9 : 18
18 Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.
Mathayo 26 : 28
28 ⑤ kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.
Marko 14 : 24
24 ③ Akawaambia, Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.
Luka 22 : 20
20 ⑬ Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]
Leave a Reply