Biblia inasema nini kuhusu Zohar – Mistari yote ya Biblia kuhusu Zohar

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zohar

Mwanzo 23 : 8
8 Naye akazungumza nao, akisema, Ikiwa nia yenu nimzike maiti wangu atoke mbele yangu, mnisikie, mkaniombee kwa Efroni mwana wa Sohari,

Mwanzo 25 : 9
9 ⑮ Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango ya Makpela, katika shamba la Efroni mwana wa Sohari Mhiti, lielekealo Mamre.

Mwanzo 46 : 10
10 Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.

Kutoka 6 : 15
15 Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *