Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zimah
1 Mambo ya Nyakati 6 : 20
20 Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 42
42 mwana wa Yoa, mwana wa Zima, mwana wa Shimei;
2 Mambo ya Nyakati 29 : 12
12 Ndipo wakaondoka Walawi, Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa wana wa Wakohathi; na wa wana wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wagershoni, Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;
Leave a Reply