Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia zilizopita
Isaya 43 : 18
18 Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani.
Isaya 43 : 18 – 19
18 Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani.
19 Tazama, nitatenda neno jipya; sasa litachipuka; je! Hamtalijua sasa? Nitafanya njia hata jangwani, na mito ya maji nyikani.
Yakobo 4 : 7
7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.
Wagalatia 1 : 4
4 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili ya dhambi zetu, ili atuokoe na dunia hii mbovu iliyopo sasa, kama alivyopenda Mungu, Baba yetu.
Leave a Reply