Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zibia
2 Wafalme 12 : 1
1 Katika mwaka wa saba wa Yehu, Yoashi alianza kutawala; akatawala miaka arubaini huko Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Sibia wa Beer-sheba.
2 Mambo ya Nyakati 24 : 1
1 ⑤ Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala; akatawala miaka arubaini huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Sibia wa Beer-sheba.
Leave a Reply