Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zerah
Mwanzo 36 : 13
13 Na hawa ni wana wa Reueli: Nahathi, na Zera, na Shama na Miza. Hao walikuwa wana wa Basemathi, mkewe Esau.
Mwanzo 36 : 17
17 Na hawa ni wana wa Reueli, mwanawe Esau; jumbe Nahathi, jumbe Zera, jumbe Shama, jumbe Miza. Hao ndio majumbe waliotoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Hao ni wana wa Basemathi, mkewe Esau.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 37
37 Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.
Mwanzo 36 : 33
33 Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.
Hesabu 26 : 13
13 wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 24
24 Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 21
21 na mwanawe huyo ni Yoa, na mwanawe huyo ni Ido, na mwanawe huyo ni Zera, na mwanawe huyo ni Yeatherai.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 41
41 mwana wa Yeatherai, mwana wa Zera, mwana wa Ido;
2 Mambo ya Nyakati 14 : 15
15 Wakazipiga pia hema za ng’ombe, wakachukua kondoo wengi na ngamia, wakarudi Yerusalemu.
Leave a Reply