Biblia inasema nini kuhusu zawadi – Mistari yote ya Biblia kuhusu zawadi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia zawadi

2 Wakorintho 9 : 15
15 Mungu ashukuriwe kwa sababu ya kipawa chake, tusichoweza kukisifu kama ipasavyo.

Warumi 6 : 23
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

Yakobo 1 : 17
17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.

Mithali 18 : 16
16 Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *