Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zatu
Ezra 2 : 8
8 Wazawa wa Zatu, mia tisa arubaini na watano.
Ezra 10 : 27
27 ⑱ Na wa wazawa wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.
Nehemia 7 : 13
13 Wana wa Zatu, mia nane arubaini na watano.
Nehemia 10 : 14
14 Na viongozi wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;
Leave a Reply