Biblia inasema nini kuhusu Zabdi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Zabdi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zabdi

Yoshua 7 : 1
1 ⑬ Lakini Waisraeli walifanya dhambi katika kitu kilichowekwa wakfu; maana Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alitwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; hasira ya BWANA ikawaka juu ya Waisraeli.

Yoshua 7 : 18
18 Akawasongeza watu wa nyumba yake mmoja mmoja; na Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda akatwaliwa.

1 Mambo ya Nyakati 8 : 19
19 Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;

1 Mambo ya Nyakati 27 : 27
27 na juu ya mashamba ya mizabibu alikuwa Shimei, Mramathi; na juu ya mazao ya mizabibu kwa ghala za mvinyo alikuwa Zabdi, Mshifmi;

Nehemia 11 : 17
17 na Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu, mkuu wa kuanzisha shukrani katika sala, na Bakbukia, wa pili wake miongoni mwa nduguze; na Obadia, mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *