Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Yoeli
1 Samweli 8 : 2
2 Na jina la mwanawe mzaliwa wa kwanza lilikuwa Yoeli; na jina la wa pili Abiya; walikuwa waamuzi katika Beer-sheba.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 33
33 Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;
1 Mambo ya Nyakati 15 : 17
17 ⑯ Basi Walawi wakamwagiza Hemani mwana wa Yoeli; na wa nduguze, Asafu mwana wa Berekia; na wa wana wa Merari ndugu zao, Ethani mwana wa Kishi;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 28
28 Na wana wa Samweli; Yoeli, mzaliwa wa kwanza, na wa pili Abia.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 35
35 na Yoeli, na Yehu, mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli;
1 Mambo ya Nyakati 5 : 4
4 Wana wa Yoeli; mwanawe huyo ni Shemaya, na mwanawe huyo ni Gogu, na mwanawe huyo ni Shimei;
1 Mambo ya Nyakati 5 : 8
8 ① na Bela, mwana wa Azazi, mwana wa Shemaya, mwana wa Yoeli, aliyekaa huko Aroeri, hadi Nebo na Baal-meoni;
1 Mambo ya Nyakati 5 : 12
12 Yoeli, alikuwa mkuu wao, na wa pili Shafamu, na Yanai, na Shafati, katika Bashani;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 36
36 mwana wa Elkana, mwana wa Shauli, mwana wa Uzia, mwana wa Urieli;
1 Mambo ya Nyakati 7 : 3
3 Na wana wa Uzi; Izrahia; na wana wa Izrahia; Mikaeli, na Obadia, na Yoeli, na Ishia, watano; wote wakuu.
1 Mambo ya Nyakati 11 : 38
38 Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri;
2 Samweli 23 : 36
36 na Igali, mwana wa Nathani, wa Soba, na Bani, Mgadi;
1 Mambo ya Nyakati 15 : 7
7 wa wana wa Gershoni; Yoeli mkuu wao, na nduguze mia moja na thelathini;
1 Mambo ya Nyakati 15 : 11
11 Tena, Daudi akawaita Sadoki na Abiathari makuhani, na hao Walawi, Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu,
1 Mambo ya Nyakati 23 : 8
8 Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.
1 Mambo ya Nyakati 26 : 22
22 Wana wa Yehieli; Zethamu, na Yoeli nduguye, walikuwa watunzaji wa hazina ya nyumba ya BWANA.
1 Mambo ya Nyakati 27 : 20
20 wa wana wa Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia, wa nusu kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaya;
Leave a Reply