Biblia inasema nini kuhusu wasioamini – Mistari yote ya Biblia kuhusu wasioamini

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia wasioamini

Matendo 4 : 12
12 ① Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.

Waefeso 2 : 8 – 9
8 ③ Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
9 ④ wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *