Biblia inasema nini kuhusu vita – Mistari yote ya Biblia kuhusu vita

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia vita

Mhubiri 3 : 8
8 ⑩ Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.

Mathayo 24 : 6
6 Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *