Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uza
2 Wafalme 21 : 18
18 Manase akalala na babaze, akazikwa katika bustani ya nyumba yake mwenyewe, yaani, bustani ya Uza. Na Amoni mwanawe akatawala mahali pake.
2 Wafalme 21 : 26
26 Akazikwa kaburini mwake katika bustani ya Uza. Na Yosia mwanawe akatawala mahali pake.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 29
29 Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;
1 Mambo ya Nyakati 8 : 7
7 na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi.
Ezra 2 : 49
49 wazawa wa Uza, wazawa wa Pasea, wazawa wa Besai;
Nehemia 7 : 51
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea;
Leave a Reply