Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uvumi
Mambo ya Walawi 19 : 16
16 ⑳ Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu[9] ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.
Zaburi 50 : 20
20 Umekaa na kumsengenya ndugu yako, Na mwana wa mama yako umemsingizia.
Mithali 11 : 13
13 Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.
Mithali 20 : 19
19 Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.
Leave a Reply