Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Utoaji mimba
Kutoka 21 : 23
23 Lakini kwamba pana madhara zaidi, ndipo utatoza uhai kwa uhai,
Hosea 9 : 14
14 Wape, Ee BWANA; utawapa kitu gani? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na maziwa makavu.
Zaburi 29 : 9
9 Sauti ya BWANA yawazalisha ayala, Na kuiacha misitu wazi; Na ndani ya hekalu lake Wanasema, Utukufu!
Leave a Reply