Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uthai
1 Mambo ya Nyakati 9 : 4
4 Uthai, mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imli, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
Ezra 8 : 14
14 Na wa wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa Zabudi; na pamoja naye wanaume sabini.
Leave a Reply