Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia utendaji
1 Wakorintho 10 : 31
31 ② Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lolote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
1 Wathesalonike 5 : 21
21 jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;
Wagalatia 5 : 16
16 Basi nasema, Nendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
Leave a Reply