Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia usiri
Mithali 11 : 13
13 Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.
Mithali 25 : 9
9 ⑭ Ujitetee na mwenzako peke yake; Bali usiifunue siri ya mtu mwingine;
Mithali 17 : 9
9 Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.
Yakobo 5 : 16
16 Basi ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Sala yake mwenye haki ina nguvu nyingi, na hutenda mengi.
Leave a Reply