Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia usimwamini mtu
Zaburi 118 : 8
8 ⑧ Ni heri kumkimbilia BWANA Kuliko kuwatumainia wanadamu.
Mika 7 : 5
5 Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.
Yeremia 17 : 5
5 BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
Zaburi 118 : 9
9 ⑩ Ni heri kumkimbilia BWANA. Kuliko kuwatumainia wakuu.
Waefeso 2 : 8
8 ③ Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
Zaburi 118 : 8 – 9
8 ⑧ Ni heri kumkimbilia BWANA Kuliko kuwatumainia wanadamu.
9 ⑩ Ni heri kumkimbilia BWANA. Kuliko kuwatumainia wakuu.
Warumi 13 : 8
8 ③ Msiwiwe na mtu chochote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.
Wagalatia 5 : 17
17 ⑪ Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.
Wagalatia 6 : 3
3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.
Wafilipi 4 : 13
13 Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Zaburi 118 : 9 – 11
9 ⑩ Ni heri kumkimbilia BWANA. Kuliko kuwatumainia wakuu.
10 Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.
11 ⑪ Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.
Warumi 8 : 14
14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
Isaya 31 : 1
1 Ole wao wateremkao kwenda Misri wapate msaada, na kutegemea farasi; watumainio magari kwa kuwa ni mengi, na wapanda farasi kwa kuwa ni hodari sana; lakini hawamwangalii Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti BWANA!
Waraka kwa Waebrania 12 : 14
14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;
1 Petro 3 : 1
1 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;
Yakobo 2 : 17
17 Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.
Yohana 15 : 4
4 Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi hamuwezi, msipokaa ndani yangu.
Zaburi 40 : 3 – 4
3 Akatia wimbo mpya kinywani mwangu, Ndio sifa zake Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, Nao watamtumainia BWANA.
4 ⑭ Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake, Wala hakuwaelekea wenye kiburi, Wala hao wanaogeukia uongo.
Warumi 7 : 21
21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
Leave a Reply