Biblia inasema nini kuhusu Ushirikiano โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu Ushirikiano

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ushirikiano

1 Wakorintho 3 : 7
7 Hivyo, apandaye si kitu, wala atiaye maji, bali Mungu akuzaye.

1 Wakorintho 3 : 9
9 โ‘ฑ Maana sisi tu wafanya kazi pamoja na Mungu; ninyi ni shamba la Mungu, ni jengo la Mungu.

2 Wakorintho 6 : 1
1 โ‘ข Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *