Biblia inasema nini kuhusu urithi – Mistari yote ya Biblia kuhusu urithi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia urithi

Warumi 5 : 12
12 Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;

Ezekieli 18 : 19
19 ⑧ Lakini ninyi mwasema, Kwa nini yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake? Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi.

Kutoka 20 : 5
5 ⑰ Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *