Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Upole
2 Samweli 16 : 13
13 Basi wakaendelea njiani Daudi na watu wake; Shimei naye akaaendelea juu ya ubavu wa kile kilima, kwa kumkabili, huku akiendelea, akilaani, akimtupia mawe, na kurusha mavumbi.
2 Samweli 19 : 23
23 Kisha mfalme akamwambia Shimei, Hutakufa. Mfalme akamwapia.
2 Samweli 19 : 13
13 Kisha mkamwambie Amasa, Je! Si wewe uliye mfupa wangu, na nyama yangu? Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, usipokuwa wewe jemadari wa jeshi mbele yangu daima mahali pa Yoabu.
Leave a Reply