Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uovu
Warumi 14 : 23
23 Lakini aliye na mashaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.
1 Wakorintho 8 : 13
13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.
1 Wakorintho 10 : 33
33 ④ vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.
1 Wathesalonike 4 : 12
12 ⑱ ili mwende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu chochote.
1 Wathesalonike 5 : 22
22 jitengeni na ubaya wa kila namna.
1 Wakorintho 8 : 13
13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.
1 Wakorintho 9 : 23
23 Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya Injili ili kuishiriki pamoja na wengine.
Leave a Reply