Biblia inasema nini kuhusu Uovu – Mistari yote ya Biblia kuhusu Uovu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uovu

Warumi 14 : 23
23 Lakini aliye na mashaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.

1 Wakorintho 8 : 13
13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.

1 Wakorintho 10 : 33
33 ④ vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.

1 Wathesalonike 4 : 12
12 ⑱ ili mwende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu chochote.

1 Wathesalonike 5 : 22
22 jitengeni na ubaya wa kila namna.

1 Wakorintho 8 : 13
13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.

1 Wakorintho 9 : 23
23 Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya Injili ili kuishiriki pamoja na wengine.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *