Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Unabii
Isaya 28 : 22
22 Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.
Luka 1 : 70
70 Kama alivyosema tangu mwanzo Kwa kinywa cha manabii wake watakatifu;
2 Timotheo 3 : 16
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
2 Petro 1 : 21
21 Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
1 Wafalme 17 : 8
8 Neno la BWANA likamjia, kusema,
1 Wafalme 21 : 17
17 Neno la BWANA likamjia Eliya Mtishbi, kusema,
1 Wafalme 21 : 28
28 Neno la BWANA likaja kwa Eliya Mtishbi, kusema,
Isaya 2 : 1
1 Hili ni neno aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu.
Isaya 8 : 5
5 Kisha BWANA akasema nami mara ya pili, akaniambia,
Isaya 13 : 1
1 Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.
Isaya 14 : 28
28 Ufunuo huu ulikuja mwaka ule alipokufa mfalme Ahazi.
Isaya 38 : 4
4 Ikawa, neno la BWANA likamjia Isaya, kusema,
Yeremia 1 : 4
4 Neno la BWANA lilinijia, kusema,
Yeremia 7 : 1
1 Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,
Yeremia 11 : 1
1 Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,
Yeremia 13 : 8
8 Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,
Leave a Reply