Biblia inasema nini kuhusu umoja – Mistari yote ya Biblia kuhusu umoja

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia umoja

1 Petro 4 : 8
8 Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.

Mhubiri 4 : 9
9 Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Kwa sababu wana tuzo njema kwa kazi yao.

Yohana 13 : 34
34 Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.

Zaburi 95 : 6
6 ③ Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba.

Wafilipi 2 : 2
2 ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *