Biblia inasema nini kuhusu ulevi – Mistari yote ya Biblia kuhusu ulevi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia ulevi

Mithali 20 : 1
1 ③ Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.

Warumi 14 : 21
21 Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lolote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.

1 Timotheo 5 : 23
23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *